Yeremia Mahalu Kisula

Biography

Mch. Yeremia Mahalu alichaguliwa na Sinodi kuwa Mkurugenzi wa kwanza wa AICT katika kikao kilichokaa Februari 4-5, 1958 na baadaye Sinodi ya 1965 ilibadilisha jina la Mkurugenzi kuwa Askofu na hivyo Mchungaji Yeremia Mahalu Kisula alikuwa ni Askofu wa kwanza wa AICT. Akiwa Mkurugenzi wa EEK, Mch. Kisula aliendelea kumtumikia Bwana katika maeneo mbali mbali. Baada ya uchaguzi wa Askofu uliofanyika mwaka 1965 iliazimiwa kuwa Askofu Kisula ahamie Makongoro, Mwanza Septemba 25, 1965.

Posts

No posts made yet by this leader

Photos

No photos uploaded yet

Yeremia Mahalu Kisula profile

Position: Bishop


Full names: Yeremia Mahalu Kisula

Date Of Birth: 26/03/2026

Married to: Leya Kahabi Magikila

Diocese(s): Joined MWANZA in