Henry Jonathani Kanyumi profile Pastor
Biography
Mimi nilizaliwa katika kijiji cha Nyamahona wilaya ya Sengerema, nilimaliza masomo ya shule ya msingi 1967 Katungulu Upper primary school. Nimepitia kozi ya chuo cha Biblia Katungulu miaka 4 tangu 1977-1980. Nilipata mafunzo ya uhamasishaji rasmali miaka 2 tangu 2008-2010 nikapata cheti cha Diploma. Nilihudhuria mafunzo ya ifikopo 2009 miezi 2. Nimepata mafunzo ya Pastor's course mwaka 1985. Mafunzo ya kuelimisha watu wenye Ualbino, elimu ya jamii kuunda vikundi vya pamoja. Nimeongoza Pastoate ya Makongoro, Tabora, Misasi, Igoma, Nyanguge, Idara ya Injili na Misheni, mhazini AICT, Katibu wa sinodi.