Ibada ya KUMSIMIKA kazini Askofu wa Tatu wa AICT Dayosisi ya Pwani Askofu PHILIPO MAFUJA MAGWANO

Ibada ya KUMSIMIKA kazini Askofu wa Tatu wa AICT Dayosisi ya Pwani Askofu PHILIPO MAFUJA MAGWANO, Imeongozwa na Askofu mkuu wa AICT Askofu Mussa M. Magwesela, Mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt Philip I. Mpango, Katika kanisa la AICT MAGOMENI Dar es Salaam, Tarehe 29/01/2023

You must sign in to comment.Click Here to Sign In or Here to Register
Comments
    No comments found